Jumatatu, 11 Mei 2020

Msanii “AY” Apewa Ubalozi wa Simu Mpya ya Infinix Note 7

Msanii mkongwe katika industry ya muziki, Ambwene Allen Yessayah maarufu kama “AY” anayetamba na kibao cha Danhela ala shavu la Ubalozi wa simu mpya ya Infinix NOTE 7. Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, @infinixmobiletz waliweka viashiria vya ubalozi huo wiki iliyopita na siku ya Jumamosi, Mei 9 walithibitisha ubalozi huo kupitia LIVE Session […] More

Soma Zaidi : Msanii “AY” Apewa Ubalozi wa Simu Mpya ya Infinix Note 7