Alhamisi, 16 Julai 2020

Akaunti za Twitter za Kampuni Kubwa na Watu Maarufu Zadukuliwa

Habari mpya hivi leo zinasema kuwa, mtandao wa Twitter umedukuliwa na akaunti za kampuni kubwa na watu maarufu kutumika kufanya utapeli. Kwa mujibu wa mtandao huo, akaunti za kampuni hizo na watu maarufu ni pamoja na Raisi mstaafu wa marekani Barack Obama, Joe Biden, Elon Musk, Bill Gates, Kanye West, Michael Bloomberg, pamoja na akaunti […] More

Soma Zaidi : Akaunti za Twitter za Kampuni Kubwa na Watu Maarufu Zadukuliwa