Katika hali ya kawaida watu wengi hudhani kuwa kuanzisha kampuni ni lazima kuanza na hatua kubwa kama kuwa na ofisi kubwa, kuwa na wafanyakazi pamoja na vitu vingine vingi. Lakini leo napenda nikwambie kuwa unaweza kuanzisha kampuni kwa kutumia laptop au simu yako pamoja na internet tu, bila kuwa na ofisi wala kitu chochote. Kupitia […] More
Soma Zaidi : Hatua kwa Hatua Jinsi ya Kuanzisha Kampuni Mtandaoni