Siku chache zilizopita (Ijumaa) Raisi wa Marekani aliwambia waandishi wa habari kuwa anategemea kufungia mtandao wa TikTok kutotumika nchini Marekani ndani ya kipindi cha muda mfupi ujao. Lakini wakati huo huo, kampuni ya Microsoft nayo ilisemekana kuwa ipo kwenye mazungumzo na kampuni ya Byte Dance ili kununua mtandao wa TikTok kwa upande wa Marekani. Habari […] More
Soma Zaidi : Microsoft Yathibitisha Kutaka Kununua TikTok kwa Marekani