Baada ya kusubiri kwa muda mrefu pamoja na tetesi mbalimbali, hatimaye hivi leo kampuni ya Apple imetangaza kuzindua simu zake mpya za iPhone 12 siku ya tarehe 15 ya mwezi huu. Kwa mujibu wa mialiko inayo tumwa kwa kampuni mbalimbali, mwaka huu Apple inatarajiwa kuzindua iPhone nne mpya. Tunatarajia kuona iPhone 12 yenye inch 5.2, […] More
Soma Zaidi : Apple Yatangaza Kuzindua iPhone 12 Septemba 15