Jumanne, 15 Septemba 2020

Hatimaye Simu Mpya ya Infinix ZERO 8 Yafika Rasmi Tanzania

Hatimaye Simu Mpya ya Infinix ZERO 8 Yafika Rasmi Tanzania

Mara baada ya tetesi za muda mrefu juu ya ujio wa Infinix ZERO 8, hatimaye kampuni ya simu ya Infinix kupitia mitandao yake ya kijamii @infinixmobiletz wameitambulisha rasmi Infinix ZERO 8. Kwa mujibu wa kampuni ya Infinix, Infinix ZERO ndio kinara ‘flagship model’ kwa mwaka huu wa 2020 na ikiwa kama simu yenye kuiwakilisha kampuni […] More

Soma Zaidi : Hatimaye Simu Mpya ya Infinix ZERO 8 Yafika Rasmi Tanzania