Kwa muda sasa tumekuwa tukipata maswali mengi sana mengi tukishindwa kuyajibu kwa wakati na mengine tumekuwa tukifanikiwa kuwapa majibu. Lakini swali ambalo tumekuwa tukilipata mara kwa mara na mara nyingi jibu lake limekuwa Hapana ni pamoja na swali la “Kunalo Group la Tanzania Tech.?”. Zipo sababu nyingi sana za kwanini hakuna group la Tanzania tech, […]
Soma Zaidi : Suluhisho la Matatizo ya Teknolojia (Tanzania Tech Group)