Jumatatu, 21 Septemba 2020

TikTok Yafanikiwa Kuingia Mkataba na Oracle na Walmart

TikTok Yafanikiwa Kuingia Mkataba na Oracle na Walmart

Hatimaye kampuni ya TikTok imeweza kuepuka marufuku iliyokuwa iwekwe siku ya jumapili na idara ya biashara ya marekani, mara baada ya kampuni hiyo kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni ya Oracle pamoja na kampuni ya Walmart. Hata hivyo, kwa mujibu wa The Verge, marufuku hiyo ilikataliwa na mahakama ya marekani, mara baada ya kampuni ya TikTok […] More

Soma Zaidi : TikTok Yafanikiwa Kuingia Mkataba na Oracle na Walmart