Jumanne, 6 Oktoba 2020

Simu za Huawei Kuanza Kutumia Mfumo wa HarmonyOS 2021

Simu za Huawei Kuanza Kutumia Mfumo wa HarmonyOS 2021

Kampuni ya Huawei hapo mwaka jana (2019) ilizindua mfumo wake wa uendeshaji wa HarmonyOS, mfumo huo ulizinduliwa mara baada ya kampuni hiyo kupigwa marufuku na Google tumia mfumo wa Android. Hata hivyo baada ya Huawei kuzindua mfumo huo wa HarmonyOS, mara moja kampuni hiyo ilitangaza kuwa mfumo huo sio kwaajili ya simu bali ni kwaajili […]

Soma Zaidi : Simu za Huawei Kuanza Kutumia Mfumo wa HarmonyOS 2021