Kampuni ya Apple hapo jana ilizindua laptop zake mpya ambazo pia ni laptop za kwanza kabisa kwa kampuni ya Apple kutumia processor ambayo imetengenezwa na kampuni hiyo kwa asilimia 100. Tofauti na laptop nyingine ambazo tayari zimezinduliwa na Apple, laptop hizi mpya za MacBook Air ya Inch 13 na MacBook Pro ya Inch 13 zote […]
Soma Zaidi : Kampuni ya Apple Yazindua Laptop Mpya za MacBook (2020)