Ijumaa, 6 Novemba 2020

WhatsApp Yaleta Meseji Zinazojifuta Ndani ya Siku 7

WhatsApp Yaleta Meseji Zinazojifuta Ndani ya Siku 7

Mwanzoni mwa wiki hii, kampuni ya Facebook ilitangaza ujio wa sehemu mpya ambayo inaruhusu watumiaji wa programu hiyo ya mawasiliano kuweza kutuma meseji ambazo zinajifuta zenyewe baada ya siku saba kuanzia meseji ilipotumwa. Sehemu hiyo mpya ambayo tayari imesha anza kupatikana kwa watumiaji wote wa programu ya WhatsApp na pia inaweza kuwashwa kupitia magroup na […]

Soma Zaidi : WhatsApp Yaleta Meseji Zinazojifuta Ndani ya Siku 7