RAM au Random access memory ni sehemu ya muhimu sana kwenye kompyuta, RAM hutumika kuhifadhi data muhimu za programu mbalimbali kwa muda mfupi ili kusaidia programu hizo kufanya kazi kwa haraka. Bila kuwepo kwa RAM programu nyingi zisingeweza kufanya kazi kwenye kompyuta. Ni wazi kuwa kadri miaka inavyozidi kwenda programu za muhimu kama Microsoft Office […]
Soma Zaidi : Jinsi ya Kuongeza Uwezo wa RAM kwenye Windows PC