Hivi karibuni kampuni ya Facebook kupitia mtandao wake wa facebook imeingia kwenye kashfa kubwa ya kuvujisha data za watumiaji wa mtandao huo kupitia kampuni ya Cambridge Analytica. Kashfa hiyo inaendela kuchukua sura mpya kila siku na leo mambo yamezidi kuwa magumu zaidi huku aliyekuwa mwanzilishi muandamizi wa App ya WhatsApp ambayo sasa ina milikiwa na […] More
The post Aliye Gundua WhatsApp “Ni Wakati wa Kufuta Facebook” appeared first on Tanzania Tech.