Ripoti asubuhi ya leo zinasema huenda kampuni ya Huawei ikawa inajiandaa kuja na simu yake mpya yenye ukubwa wa ndani wa GB 512, habari kutoka tovuti ya Android Authority zinasema kuwa, simu hiyo imeonekana kwenye tovuti ya tume ya mawasiliano ya nchini China kwaajili ya kupewa kibali. Simu hiyo imeonekana kwenye tovtui hiyo ikiwa imepewa jina […] More
The post Ripoti : Huawei Kuja na Simu Yenye Ukubwa wa GB 512 appeared first on Tanzania Tech.