Siku za karibuni Roboti zinaonekana kushika kasi sana, huku mfumo wa AI au (Artificial Intelligence) ukitumiwa kuwezesha roboti hizo kufanya mambo ambayo pengine ni ya kushangaza angalau kwa sasa. Wengi wetu tunaijui roboti inayoitwa sofia, hii ni roboti yenye uwezo wa kuongea na kufikiri kama binadamu roboti hiyo hutumia mfumo huo wa AI kufanya hivyo, hivi […] More
The post Cue Roboti Mpya Yenye Uwezo wa Kucheza Mpira wa Kikapu appeared first on Tanzania Tech.