Alhamisi, 15 Machi 2018

Mwalimu Aliye Chora Kompyuta Ubaoni Apata Msaada Zaidi

Mwalimu Owura Kwadwo Hottish

Mwalimu wa kompyuta nchini Ghana Owura Kwadwo Hottish, ambae alikuwa gumzo kubwa kwenye mtandao wa Twitter siku za karibuni anaendelea kupata msaada zaidi kutoka kwa kampuni ya Microsoft Africa pamoja na wananchi wa nchini Ghana. Hottish ambaye ni mwalimu wa kompyuta au (ICT) nchini Ghana, mwezi wa pili alikuwa gumzo baada ya kuchora kompyuta ubaoni kwaajili […] More

The post Mwalimu Aliye Chora Kompyuta Ubaoni Apata Msaada Zaidi appeared first on Tanzania Tech.