Jumanne, 20 Machi 2018

Facebook Ndani ya Kashfa Nzito ya Kuvujisha Data za Faragha

Wiki hii kashfa nzito imeibuka baada ya mtandao maarufu wa Facebook kuhusishwa na uvujishaji wa data za siri za watumiaji wake kupitia kampuni ya uchambuzi ya Cambridge Analytica ambayo ilikuwa inamuunga mkono raisi Donald Trump katika kampeni yake ya uraisi mwaka 2016. Inasemekana kuwa kampuni ya Cambridge Analytica ilikuwa inatumia data za watumiaji wa mtandao wa […] More

The post Facebook Ndani ya Kashfa Nzito ya Kuvujisha Data za Faragha appeared first on Tanzania Tech.