Pamoja na kampuni ya HTC kufanya vibaya kwenye mauzo ya simu kwa mwaka 2017, Lakni bado kampuni hiyo imerudi tena mwaka huu na simu yake Mpya ya HTC 12 pamoja na HTC 12+. Kuanzia mwezi wa kwanza simu hii imeonekana ikiwa gumzo sana mitandaoni huku video mbalimbali ziki ibuka na kuonyesha muonekano wa simu hiyo […] More
The post Hizi Hapa Sifa za HTC 12 na HTC 12+ Iliyozinduliwa Rasmi Leo appeared first on Tanzania Tech.