Habari mpya mihumu kwa watumiaji wa Android, hivi karibuni google itanza kufungia baadhi ya simu za android kutumia programu zake na hii ni kwa simu ambazo haziko Certified. Kwa mujibu wa tovuti ya theverge baadhi ya simu ambazo zitafungiwa ni pamoja na simu nyingi zinazotoka nchini china, yaani hizi ni zile ambazo zimetengenezwa maalumu kwaajili […] More
The post Google Kuzuia Baadhi ya Simu Kutumia Programu Zake appeared first on Tanzania Tech.