Siku ya leo kunafanyika uzinduzi wa simu mbalimbali ikiwa pamoja na kufanyika kwa tamasha la Apple ambalo nalo litafanyika siku ya leo huku tukitegemea kuona baadhi au vifaa vipya kutoka kampuni ya Apple. Sasa kurahisisha mambo nimeona nikulete hii list ili uweze kujua simu zitakazo zinduliwa au zilizo zinduliwa siku ya leo. Huawei P20 Huawei P20 […] More
The post Simu Mpya Zinazo Tarajiwa Kuzinduliwa Leo Tarehe 27/3/2018 appeared first on Tanzania Tech.