Hivi karibuni Samsung imezindua simu zake mpya za Samsung Galaxy S9 pamoja na Galaxy S9 Plus, Simu hizi zinaonekana tayari zimesha ingia sokoni nchini marekani na sasa ni wakati wa kuangalia ubora na ugumu wa simu hizo. Kama bado hujajua JerryRigEverything ni jina la channel ya Youtube ya jamaa anae tambulika kwa jina moja la Zack, […] More
The post Huu Ndio Ubora na Ugumu wa Simu Mpya ya Galaxy S9 appeared first on Tanzania Tech.