Hivi karibuni Kampuni ya Huawei imezindua simu mpya ya Huawei Y9, kwa mwaka huu 2018 simu hii ya Huawei Y9 (2018) imezinduliwa huko nchini Thailand huku ikiwa inakuja na maboresho kadhaa ikiwa pamoja na kioo kikubwa, pamoja na Battery yenye uwezo mkubwa wa 4,000 mAh. Mbali na simu hii kuwa na battery kubwa na kioo […] More
The post Zifahamu Hizi Hapa Sifa za Huawei Y9 (2018) Ilyozinduliwa Jana appeared first on Tanzania Tech.