Baada ya Instagram kusemekana kujiandaa kuja na sehemu mpya ya Focus, hivi leo mtandao huo umetangaza kuja na sehemu mpya itakayo kuruhusu kuweza kuweka hashtag pamoja na kuweka akaunti yako au ya mtu mwingine kwa kutag akaunti hiyo kupitia sehemu ya Bio. Hapo hawali sehemu ya Bio au sehemu ya wasifu kwenye mtandao huo ilikuwa […] More
The post Instagram Kuruhusu Hashtag na Kumtag Mtu Kwenye Bio appeared first on Tanzania Tech.