Playboy ni gazeti la Marekani linalo husu maisha ya wanaume na burudani. Gazeti hilo Iilianzishwa mwaka 1953 huko Chicago nchini marekani na Hugh Hefner. Toka kipindi hicho mpaka sasa gazeti hilo limekuwa kubwa sana na kwa sasa Playboy ni moja kati ya gazeti tajiri zaidi nchini marekani. Sasa hapo jana kampuni inayo simamia gazeti hilo Playboy […] More
The post Mtandao wa Playboy Wafuta Ukarasa Wake wa Facebook appeared first on Tanzania Tech.