Sakata la Facebook na kampuni ya Cambridge Analytica bado linaendela na wiki hii Facebook imeanza kuchunguzwa rasmi na FTC au (Federal Trade Commission) Shirikisho la Tume ya Biashara nchini Marekani. Wakati Facebook ikiendelea kuwa na siku mbaya kila siku. Kinara wa upinzani Raila Odinga naye ameibuka na kusema ataushtaki mtandao wa Facebook pamoja na kampuni […] More
The post Raila Odinga Kuishtaki Facebook na Cambridge Analytica appeared first on Tanzania Tech.