Kama ilivyo tangazwa Kampuni ya Samsung jana ilizindua TV zake mpya za mwaka 2018 zenye teknolojia ya QLED pamoja na 4K huko New York City nchini Marekani. Bado Samsung imendelea kuwa kiongozi wa kutengeneza TV bora huku kwa mwaka huu ikiwa imekuja na TV zenye maboresho zaidi pamoja na mfumo wa usaidizi wa sauti (Voice […] More
The post Samsung Yazindua TV Zenye Uwezo wa Kufanana na Ukuta appeared first on Tanzania Tech.