Habari kupitia gazeti la kila siku la Habari leo zinasema kuwa, Zanzibar inatarajia kujenga kiwanda cha kuunganisha na kutengeneza simu za mkononi na kutoa ajira kwa wananchi wa visiwa hivyo. Habari hizo zinaendelea kusema, kiwanda hicho kitakacho anzishwa hivi karibuni na Kampuni ya U$I kutoka Korea Kusini, kitaanza kwa kuunganisha vifaa vya simu na kisha baada […] More
The post Zanzibar Kujenga Kiwanda cha Kutengeneza Simu za Mkononi appeared first on Tanzania Tech.