Mwezi wa kumi mwaka 2017 WhatsApp ilileta sehemu mpya ya Delete For Everyone, sehemu hii inakuruhusu kuweza kufuta meseji ulizo kosea kutumia mtu na kumzuia mtu uliye mtumia asiweze kuzisoma. Lakini sehemu hii kipindi cha nyuma ilikuwa ikiruhusu watumiaji wa programu ya WhatsApp kufuta meseji ambazo umezituma kwa muda usiozidi dakika saba pekee, Sasa hivi […] More
The post Sasa WhatsApp Inaruhusu Kufuta Meseji za Hadi Lisaa Limoja appeared first on Tanzania Tech.