Jumanne, 13 Machi 2018

Hizi Hapa Simu za Tecno Ulizokua Huzijui Mwaka (2018)

Simu za Tecno

Simu za Tecno ni moja kati ya simu zenye wa tumiaji wengi sana kwa hapa Afrika, lakini pamoja na simu hizi kuwa na watumiaji wengi sio simu zote za tecno zinazotoka nchi zingine zinafanikiwa kufika Tanzania kwa wakati. Sasa leo nimekuandalia simu mbili mpya za tecno ambazo zilizinduliwa mwaka huu 2018 lakini kwa sasa bado […] More

The post Hizi Hapa Simu za Tecno Ulizokua Huzijui Mwaka (2018) appeared first on Tanzania Tech.