Hivi karibuni kampuni ya Simu ya Alcatel ilizindua simu mpya tano, moja kati ya simu hizo ni simu mpya ya Alcatel 1X. Simu hii ni moja kati ya simu za kwanza kabisa kuwa na mfumo mpya wa Android Go, mfumo ambao umetengenezwa maalumu kwa simu zenye uwezo mdogo. Simu hii imekuwa gumzo zaidi mtandaoni kutokana […] More
The post Sifa za Alcatel 1X Simu ya Kwanza Inayotumia Android Go appeared first on Tanzania Tech.