Kampuni ya Apple ambayo inayo makao yake makuu huko Cupertino, California, nchini marekani. Hivi karibuni inategemewa kufanya mkutano wa aina yake ambao utakuwa ukiangazia zaidi kwenye maswala ya elimu. Kwa mujibu wa tovuti ya theinquire, Mkutano huo unatarajiwa kufanyika mwezi huu tarehe 27 ambapo, wataalam wa mambo wanasema pengine mkutano huo utatumika kutangaza vifaa vya bei rahisi […] More
The post Apple Kufanya Mkutano wa Elimu Tarehe 27 March 2018 appeared first on Tanzania Tech.