Habari kutoka gazeti la mwananchi zinasema, Matumizi ya Wi-Fi bandia zinazolingana na Wi-Fi za bure zinazopatikana maeneo tofauti zimeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha wizi unaofanywa kwenye akaunti za benki kwa njia ya mtandao. Hilo limebainishwa na kampuni ya kimataifa ya Invostec inayohudumia benki na miradi mingine mikubwa duniani. Meneja wa idara ya kudhibiti ulaghai wa […] More
The post Wizi Mpya wa Fedha Benki kwa Kutumia Wi-Fi Bandia appeared first on Tanzania Tech.