Hivi karibuni watumiaji wengi sana wanaotumia simu za Android wamekuwa wakitamani kupata toleo jipya la Android 8 au Android Oreo kwenye simu zao za Android. Lakini kwa watumiaji wa simu za Samsung ni wazi kuwa kampuni ya Samsung imekuwa taratibu sana kutoa matoleo mapya ya Android kwenye simu mbalimbali za Android na kufanya watumiaji kusubiri […] More
The post Galaxy S7, A3, A5 na A7 Kupata Toleo la Android 8 Mwezi May appeared first on Tanzania Tech.