Ni wazi matumizi ya simu janja yameongezeka kwa kasi sana na kusababisha matumizi ya kompyuta kupungua kwa kiasi flani, lakini pia ni wazi kuwa kompyuta bado zinayo nafasi yake kubwa sana kwenye maisha ya kila siku hii ni kutokana na kuwa bado kuna mambo ambayo ni vigumu kuyafanya kwa kupitia kwenye simu zetu za mkononi. […] More
The post Watumiaji wa Kompyuta Fahamu Umuhimu wa Sheria ya 20 20 20 appeared first on Tanzania Tech.