Ijumaa, 20 Aprili 2018

Google Kuja na CHAT Sehemu Mpya ya Android Badala ya SMS

Miaka miwili iliyopita hapa Tanzania Tech tulishawahi kuongelea kuhusu Google kuja na sehemu mpya ambayo itakuwa badala ya SMS kwenye simu za Android, kwenye makala hiyo tulisema mfumo huo utakao tumika unaitwa RCS au Rich Communication Services. Sasa toka mwaka huo 2016 hadi kufikia sasa, kampuni ya Google imetangaza rasmi kuanza kutumia mfumo huo kwenye simu […] More

The post Google Kuja na CHAT Sehemu Mpya ya Android Badala ya SMS appeared first on Tanzania Tech.