Baada ya kampuni ya Huawei kupitia kampuni yake ya Honor kuzindua simu ya Honor 10, sasa Huawei imeamua kupanua uzalishaji wa kampuni hiyo kwa kuja na laptop ya kwanza kabisa kutoka kampuni hiyo inayoitwa Honor MagicBook. Laptop hiyo inakuja ikiwa inafanana sura na Mackbook Pro ikiwa pamoja na kava lake la nje ambalo limetengenezwa kwa […] More
The post Honor MagicBook Laptop ya Kwanza Kutoka Kampuni ya Honor appeared first on Tanzania Tech.