Jumatano, 4 Aprili 2018

Hivi Punde : Mtu Ameingia na Bunduki Makao Makuu ya YouTube

HABARI ZA HIVI PUNDE zinasema kuwa kuna mtu ameingia kwenye makao makuu ya mtandao wa YouTube akiwa na silaa na inasemekana watu kadhaa wame jeruhiwa na wengine tayari wamesha waishwa Hospital. Kwa mujibu wa ripoti za muda huu kutoka mtandao wa The Verge, Polisi wa kitongoji cha San Bruno nchini marekani ambapo ndipo makao hayo makuu […] More

The post Hivi Punde : Mtu Ameingia na Bunduki Makao Makuu ya YouTube appeared first on Tanzania Tech.