Habari kutoka kwenye gazeti la kila siku la mwananchi siku ya leo zinasema kuwa, Kutokana na kutokidhi masharti ya mfumo wa malipo serikalini (GePG), Vodacom imesitisha huduma za malipo ya Luku kwa wateja wake wa M-Pesa. Mkurugenzi wa mawasiliano wa Vodacom, Rosalynn Mworia amesema wanaendelea na mazungumzo na Serikali kupata muafaka kabla ya kurejesha huduma […] More
The post Vodacom Tanzania Yatisha Huduma za Kununua Umeme za Luku appeared first on Tanzania Tech.