Wakati Tanzania ikiwa bado ina jikongoja kwenye huduma za malipo ya mtandaoni, Nchini Afrika ya Kusini mambo yanaendelea kuwa mazuri kwani hivi karibuni wananchi wa nchini humo wataweza kufurahia huduma mpya za malipo za Samsung Pay. Kama ulikuwa hujui kuhusu Samsung Pay, hii ni huduma itakayo kuwezesha kuweza kufanya malipo kwa kutumia simu yako ya […] More
The post Huduma ya Samsung Pay Kuzinduliwa Afrika Mwezi wa Sita appeared first on Tanzania Tech.