Jumanne, 24 Aprili 2018

Serikali Kufikiria Mpango wa Kusajili Wataalam wa Tehama

Wataalam wa tehama

Ni wazi kuwa kunalo ongezeko kubwa sana la watalaam mbalimbali hivyo, kwa mujibu wa gazeti la Habari leo limeandika kuwa, Kutokana na ongezeko la matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amesema kuna umuhimu wa kuanzisha bodi itakayo watambua wataalam wa sekta hiyo. Mhandisi Nditiye […] More

The post Serikali Kufikiria Mpango wa Kusajili Wataalam wa Tehama appeared first on Tanzania Tech.