Instagram imekuwa ikifanya mabadiliko ya App zake kila siku, Hivi karibuni moja ya mabadiliko ni pamoja na uwezo mpya wa kupost picha au video zaidi ya moja kwa wakati mmoja kupitia sehemu ya Stories. Hapo awali ilikuwa ni lazima kupost picha au video moja kwenye stories baada ya kumalizika kisha ndipo uweze kupost picha au […] More
The post Instagram Kuruhusu Kupost Stories Zaidi ya Moja kwa Mara Moja appeared first on Tanzania Tech.