Kampuni ya Nokia inajiandaa kurudi na toleo jipya la simu mpya ya Nokia X6 (2018) ambayo inategemewa kuzinduliwa siku ya ijumaa mwezi huu. Hapo awali Nokia X6 ilishwahi kuwa simu ya zamani kutoka Nokia ambayo ilikuwa ikitumia mfumo wa uendeshaji wa Symbian kabla ya kampuni hiyo kujiunga rasmi na Android. Kwa mujibu wa tovuti ya GSM […] More
The post Nokia Kurudi na Toleo Jipya la Simu ya Nokia X6 (2018) appeared first on Tanzania Tech.