Kampuni ya Samsung inajiandaa kurudi sokoni hivi karibun na simu mpya za Samsung Galaxy A6 pamoja na Galaxy A6 Plus, simu hizi zinategemewa kuja zikiwa kama toleo jipya la Simu za Samsung Galaxy A8 simu ambazo zilizinduliwa hapo mwishoni mwa mwaka jana 2017. Ripoti kutoka kwenye tovuti ya GSM Arena zinasema kuwa, Simu hizi mpya za […] More
The post Jiandae na Simu Mpya za Samsung Galaxy A6 na A6 Plus appeared first on Tanzania Tech.