Ijumaa, 6 Aprili 2018

Tanesco Yafafanua Kuhusu Kununua Umeme Kwenye Simu

Nunua umeme LUKU

Hivi karibuni tuliskia kuhusu Mtandao wa Vodacom kujitoa kwenye huduma ya kununua Umeme LUKU kupitia MPESA, lakini kujitoa huko hakukudumu kwani baadae kampuni ya Vodacom Tanzania ilitoa tamko na kusema itaendelea na huduma hiyo na badala yake kutakuwa na ongezeko la malipo ya kupewa huduma hiyo ya LUKU ambayo yatakuwa asilimia 1.1. Sasa basi, kumekuwa […] More

The post Tanesco Yafafanua Kuhusu Kununua Umeme Kwenye Simu appeared first on Tanzania Tech.