Ijumaa, 27 Aprili 2018

Jiandae na Simu ya Kwanza Yenye Android Go Kutoka Samsung

Android Go ni mfumo maalumu wa Android kwaajili ya simu zenye uwezo mdogo, Mara nyingi simu zenye mfumo huu huwa na uwezo wa RAM kuanzia GB 1 kushuka chini. Hata hivyo mfumo huu umetengenezwa maalum kwaajili ya kuwezesha watu wengi zaidi kutumia mfumo wa Android, hata wale wanao pendelea simu za bei rahisi. Sasa tumesha […] More

The post Jiandae na Simu ya Kwanza Yenye Android Go Kutoka Samsung appeared first on Tanzania Tech.