Android Go ni mfumo maalumu wa Android kwaajili ya simu zenye uwezo mdogo, Mara nyingi simu zenye mfumo huu huwa na uwezo wa RAM kuanzia GB 1 kushuka chini. Hata hivyo mfumo huu umetengenezwa maalum kwaajili ya kuwezesha watu wengi zaidi kutumia mfumo wa Android, hata wale wanao pendelea simu za bei rahisi. Sasa tumesha […] More
The post Jiandae na Simu ya Kwanza Yenye Android Go Kutoka Samsung appeared first on Tanzania Tech.