Ijumaa, 27 Aprili 2018

Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy J2 (2018) ya Bei Nafuu

Kampuni ya Samsung nchini india imetangaza rasmi kuhusu ujio wa Simu yake mpya ya Samsung Galaxy J2 (2018), Simu hii inasemekana kuwa ni simu yenye uwezo mdogo pamoja na bei rahisi. Kwa mujibu wa tovuti ya Samsung kwa nchini india, Samsung Galaxy J2 (2018) inakuja na Processor ya Qualcomm Snapdragon SoC yenye quad-core CPU, pamoja […] More

The post Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy J2 (2018) ya Bei Nafuu appeared first on Tanzania Tech.