Jumanne, 10 Aprili 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Ian Ferrao Astaafu

Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Ian Ferrao

Taarifa kutoka kwenye mtandao wa mwananchi hapo jana zinasema kuwa, Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao ametangaza kuachia mikoba ya kuiongoza kampuni hiyo baada ya mkataba wake kufika tamani. Kutokana na hilo, Ferrao atakabidhi majukumu kwa mrithi wake, Sylvia Mulinge kuanzia Juni Mosi mwaka huu na kuhitimisha miaka mitatu ya kuiongoza kampuni hiyo inayoongoza kwa […] More

The post Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Ian Ferrao Astaafu appeared first on Tanzania Tech.