Hivi karibuni mtandao wa Instagram umeonekana kufanya majaribio ya sehemu mpya kabisa ya Nametags, sehemu hii ni kama ile inayopatikana kwenye programu ya Snapchat inayojulikana kama Snapcode, ambapo mtu ataweza kutengeneza QR Codes maalum ambazo utaweza kuzitumia kupata ukurasa au kushiriki ukurasa wako wa instagram kwa urahisi zaidi. Sehemu hiyo mpya itaweza kufungua sehemu ya […] More
The post Mtandao wa Instagram Kuja na Sehemu Mpya ya Nametags appeared first on Tanzania Tech.