Jumanne, 10 Aprili 2018

Mtandao wa YouTube Wadukuliwa na Video Maarufu Kufutwa

Habari za hivi punde kutoka mtandao wa The Verge zinasema mtandao wa YouTube umedukuliwa na video maarufu kufutwa. Habari hizo zinasema kuwa video maarufu ambayo ndio ilikuwa maarufu kuliko zote ya Luis Fonsi na Daddy Yankee’s “Despacito, imefutwa kwenye mtandao huo na kava lake kubadilishwa na kuwekwa kava la watu wakiwa wameshika bunduki. Pia baadhi ya […] More

The post Mtandao wa YouTube Wadukuliwa na Video Maarufu Kufutwa appeared first on Tanzania Tech.