Wakati hivi leo Mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Facebook Mark Zuckerberg, yuko kwenye awamu ya kwanza ya mahojiano na seneti ya marekani kuhusu sakata la Cambridge Analytical, hivi leo Facebook imetoa njia ya kuweza kujua kama data zako za siri zilitumika na Cambridge Analytical kwa namna yoyote. Kupitia ukurasa wa Facebook wale walio adhiriwa na […] More
The post Jinsi ya Kuangalia Kama Cambridge Analytical Ilitumia Data Zako appeared first on Tanzania Tech.